ZRA YAJA NA MFUMO MPYA WA UKUSANYAJI MAPATO

Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imesema inatarajia kuzindua mfumo mpya wa ukusanyaji wa mapato ambao unaendana na mahitaji ya wakati ili kuimarisha ukusanyaji wa mapato nchini.Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo...

Soma Zaidi

KAMATI YA UCHUMI YAIMWAGIA SIFA ZRB

Wajumbe wa Kamati ya Uchumi ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar wameupongeza Uongozi wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) kwa kufikisha huduma karibu na wananchi kulikotokana na kufungua ofisi katika maeneo mbali...

Soma Zaidi

Marekebisho ya Sheria za Kodi za Zanzibar kwa mwaka wa Fedha 2022/2023

Sheria ya kutoza Kodi na kufuta baadhi ya Kodi na tozo na kurekebisha baadhi ya Sheria za fedha na Kodi zinazohusiana na ukusanyaji na udhibiti wa Mapato ya Serikali

Soma Zaidi

SIKU TATU ZA MIKAKATI ZAIBUA ARI YA UKUSANYAJI WA MAPATO

Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Ndugu Yusuph Juma Mwenda amesema

Soma Zaidi

TANGAZO LA MALIPO YA KODI KUANZIA TAREHE 1 AGOSTI, 2022

BODI YA MAPATO ZANZIBAR (ZRB) INAWATANGAZIA WALIPAKODI WOTE KUWA, KUANZIA TAREHE 1 AGOSTI, 2022, MALIPO YOTE YA KODI YANAYOLIPWA KWA BODI YA MAPATO ZANZIBAR, YANAPASWA KUZINGATIA YAFUATAYO:-

Soma Zaidi

Revenue Collection 1998/1999 - 2021/2022

Publication on tax collection performance and the Government Finance Statistics is being released by the Zanzibar Revenue Board each year. Tax statistics data are collected from Zanzibar Revenue Board.

Soma Zaidi

ZRB yajidhatiti kusimamia Sheria

Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Ndugu Yusuph Juma Mwenda amesema kuwa ZRB itaendelea kusimamia sheria za kodi pamoja na kuimarisha miundombinu ya ukusanyaji wa mapato ili kuondosha usumbufu kwa lengo...

Soma Zaidi