Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Ndugu Yusuph Juma Mwenda amesema kuwa ZRB itaendelea kusimamia sheria za kodi pamoja na kuimarisha miundombinu ya ukusanyaji wa mapato ili kuondosha usumbufu kwa lengo la kuongeza ufanisi na kufikia ulipaji kodi wa hiyari.