Wakuu wa Mamlaka za Kodi kutoka Jumuiya za Afrika Mashariki na Afrika Magharibi wakiongozwa na uwakilishi kutoka Shirika la Fedha Duniani (IMF) wameipongeza Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) kutokana na hatua inazopiga katika mageuzi ya…
Na Muandishi Wetu.Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) leo imekutana na Wafanyabiashara na Wasafirishaji wa Mwani Zanzibar na kujadili changamoto mbali mbali zinazowakabili kuhusiana na biashara na Kodi katika kikao kilichofanyika Afisi kuu za…
An Act to Repeal the Zanzibar Revenue Board Act, No. 7 of 19% and Establish the Zanzibar Revenue Authority as A Central Body for the Assessment and Collection of Specified Revenues to Administer and Enforce the Laws Relating to Such…
Sheria ya Kifuta Sheria ya Bodi ya Mapato Zanzibar, Nam. 7 ya 1996 na Kuanzisha Mamlaka ya Mapato Zanzibar Kama Chombo Kikuu cha Kufanya Tathmini na Kukusanya Mapato Yaliyoainishwa Ili Kusimamia na Kutekeleza Sheria Zinazosimamia Mapato…
Mwenda kuwa Kamishna Mkuu wa kwanzaNa Muandishi Wetu.Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Mheeshimiwa Dkt. Saada Mkuya Salum ametangaza rasmi kuanza kutumika kwa jina la Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) badala ya jina la Bodi ya…

