SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar, imesema itaendelea kufanyakazi kwa ukaribu zaidi na uongozi wa taasisi zinazosimamia kodi ikiwemo Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) na Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) ili kuona taasisi hizo zinatekeleza majukumu yao ipasavyo na kwa ufanisi.