SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imesema inakusudia kuanzisha sheria ya ushuru wa bidhaa ili kuiwezesha Zanzibar kuwa na nguvu za kisheria kutoza ushuru huo. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Khalid Salum Mohammed,…
Dar es Salaam. President John Magufuli has launched a new revenue collection system branded Electronic Revenue Collection System (ERCS). The system was designed by the Tanzania Revenue Authority (TRA) in partnership with Zanzibar…
Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) imesema magendo ya mafuta na uuzaji wa nishati hiyo kwenye madumu katika vituo vya kuuzia mafuta (sheli), ni moja ya changamoto kubwa inayoendelea kuitesa kwa muda mrefu sasa.Hayo yalisemwa na wajumbe wa bodi…
For the first time in history, the Zanzibar government yesterday unveiled its 1tr/- budget framework for the 2017/18 financial year. With an increase of over 200bn/- from the previous 841bn/- budget of 2015/2016, the 2017/2018 Fiscal Year…
Following the amendment of Section 8 of the Value Added Tax Act No. 4 of 1998 on the rate of VAT from 20 to 1 percent of the taxable value take effect from 1st September , 2009 will also effect the previous formula in calculating VAT amount

