ZANZIBAR-Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imekabidhi msaada wa chakula na baadhi ya vifaa vya usafi katika kituo cha kulea watoto yatima kiichopo Tunguu mjini Unguja;
WAZIRI SAADA PAMOJA NA KAMISHNA MWENDA WAMKABIDHI FLANA YA ZRA MBWANA SAMATTA
TIMU YA ZRA YATOKEA MSHINDI WA PILI
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdullah (Kushoto) akimakabidhi Tuzo Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) ndugu Yusuph Juma Mwenda, ikiwa ni sehemu ya kutambua Mchango wa Taifa




