Banda Bora katika Maonesho ya SabaSaba

Karibu katika Banda la ZRA katika Maonesho ya SabaSaba Jijini Dar es Salam.

Kaimu Kamishna Mkuu ZRA akiwa Pamoja na Viogozi wa ZRA na Uongozi wa NTA

Kaimu Kamishna Mkuu ZRA akiwa Pamoja na Viogozi wa ZRA na Uongozi wa NTA

Kaimu Kamishna Mkuu ZRA aanza na Tuzo ya ZAECA

Kaimu Kamishna Mkuu ZRA aanza na Tuzo ya ZAECA

Aliyekuwa Kamishna Mkuu wa ZRA CPA Yusuph Juma Mwenda akikabidhi Ofisi kwa Kaimu Kamishna Mkuu wa ZRA

Aliyekuwa Kamishna Mkuu wa ZRA CPA Yusuph Juma Mwenda akikabidhi Ofisi kwa Kaimu Kamishna Mkuu wa ZRA

ZRA YATOA MSAADA KWA WATOTO MAYATIMA

ZANZIBAR-Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imekabidhi msaada wa chakula na baadhi ya vifaa vya usafi katika kituo cha kulea watoto yatima kiichopo Tunguu mjini Unguja;