Hongera ZRA kwa Kuvuka Malengo

Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imesema imevuka malengo ya makusanyo ya kodi kwa asilimia 103.31 ambapo kwa kipindi cha mwezi Septemba ilikadiriwa kukusanya shilingi bilioni 74.049 na imefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 76.467.

Mwaka Mpya wa Fedha

Mwaka Mpya wa Fedha

TAARIFA YA MAKUSANYO KWA MWEZI AGOSTI 2024/2025

Taarifa ya Makusanyo kwa Mwezi Agosti 2024/2025

TAARIFA YA MAKUSANYO 2023/2024

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imefanikiwa kukusanya Sh. Trilioni 7.53 katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2024/25, sawa na ufanisi wa asilimia 101.32 ya lengo la kukusanya Shilingi Trilioni 7.43.Kwa mujibu wa taarifa…