Mfumo wa Kukusanya Mapato Kielekroniki Umepaisha Mapato ya Kodi yatokanayo na Kampuni za Simu

Mfumo wa Kukusanya Mapato Kielekroniki (Electronic Revenue Collection System (e-RCS) umeonyesha mafanikio makubwa kwa miezi mitatu ya mwanzo ya Julai, Agosti na Septemba 2017, baada ya Makusanyo ya Kodi kwa Upande wa Zanzibar (ZRB)…

ZRB yawafunda wanahabari sheria za kodi

Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) imesema kuimarika ukusanyaji wa kodi kutasaidia kukuza huduma mbalimbali za maendeleo nchini. Hayo yalielezwa na Mkuu wa kitengo cha mawasiliano kutoka bodi hiyo, Safia Is-hak, katika mafunzo ya siku moja ya…

ZRB yawafunda Wawakilishi sheria ushuru wa bidhaa

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imesema inakusudia kuanzisha sheria ya ushuru wa bidhaa ili kuiwezesha Zanzibar kuwa na nguvu za kisheria kutoza ushuru huo. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Khalid Salum Mohammed,…

President John Magufuli launches new tax Collection System

Dar es Salaam. President John Magufuli has launched a new revenue collection system branded Electronic Revenue Collection System (ERCS).  The system was designed by the Tanzania Revenue Authority (TRA) in partnership with Zanzibar…

ZRB yalia na Magendo ya Mafuta

Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) imesema magendo ya mafuta na uuzaji wa nishati hiyo kwenye madumu katika vituo vya kuuzia mafuta (sheli), ni moja ya changamoto kubwa inayoendelea kuitesa kwa muda mrefu sasa.Hayo yalisemwa na wajumbe wa bodi…