TANGAZO LA MALIPO YA KODI KUANZIA TAREHE 1 AGOSTI, 2022

BODI YA MAPATO ZANZIBAR (ZRB) INAWATANGAZIA WALIPAKODI WOTE KUWA, KUANZIA TAREHE 1 AGOSTI, 2022, MALIPO YOTE YA KODI YANAYOLIPWA KWA BODI YA MAPATO ZANZIBAR, YANAPASWA KUZINGATIA YAFUATAYO:-

Revenue Collection 1998/1999 - 2021/2022

Publication on tax collection performance and the Government Finance Statistics is being released by the Zanzibar Revenue Board each year. Tax statistics data are collected from Zanzibar Revenue Board.

ZRB yajidhatiti kusimamia Sheria

Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Ndugu Yusuph Juma Mwenda amesema kuwa ZRB itaendelea kusimamia sheria za kodi pamoja na kuimarisha miundombinu ya ukusanyaji wa mapato ili kuondosha usumbufu kwa lengo la kuongeza ufanisi na kufikia…

Dkt. Mwinyi Azindua Jengo la ZRB Pemba

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar, imesema itaendelea kufanyakazi kwa ukaribu zaidi na uongozi wa taasisi zinazosimamia kodi ikiwemo Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) na Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) ili kuona taasisi hizo zinatekeleza majukumu…

Marekebisho ya Sheria za Kodi za Zanzibar kwa mwaka wa fedha 2020 – 2021.

Sheria ya kutoza Kodi na kufuta baadhi ya Kodi na tozo na kurekebisha baadi ya Sheria za fedha na Kodi zinazohusiana na ukusanyaji na udhibiti wa Mapato ya Serikali.