Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza La Mapinduzi Apokea Zawadi Kutoka Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB)
Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imesema inatarajia kuzindua mfumo mpya wa ukusanyaji wa mapato ambao unaendana na mahitaji ya wakati ili kuimarisha ukusanyaji wa mapato nchini.Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo ndugu Yusuph Juma Mwenda…
Wajumbe wa Kamati ya Uchumi ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar wameupongeza Uongozi wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) kwa kufikisha huduma karibu na wananchi kulikotokana na kufungua ofisi katika maeneo mbali mbali ya Zanzibar.Akitoa pongezi…


