Na Mwandishi Wetu.Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) inajipanga kuunda timu maalum kwa lengo kukagua mashine na mfumo wa kutolea Risiti za kielektroniki ili kuwabaini wanaokwepa kutoa Risiti kwa kisingizio cha ubovu wa Mashine.Uamuzi huo ni…
Mamlaka zinazosimamia ukusanyaji wa mapato Zanzibar zimeshauriwa kutafuta chanzo mbadala cha ukusanyaji wa mapato badala ya kuweka mkazo katika kubuni na kuanzisha vyanzo vipya vya kodi.Rai hiyo imetolewa leo na Mwenyekiti wa Kamati ya…
Ziara ya Viongozi wa Taasisi za Kodi za Afrika Mashariki na Afrika Magharibi
Wakuu wa Mamlaka za Kodi kutoka Jumuiya za Afrika Mashariki na Afrika Magharibi wakiongozwa na uwakilishi kutoka Shirika la Fedha Duniani (IMF) wameipongeza Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) kutokana na hatua inazopiga katika mageuzi ya…
Na Muandishi Wetu.Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) leo imekutana na Wafanyabiashara na Wasafirishaji wa Mwani Zanzibar na kujadili changamoto mbali mbali zinazowakabili kuhusiana na biashara na Kodi katika kikao kilichofanyika Afisi kuu za…

