ZRB yajidhatiti kusimamia Sheria

Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Ndugu Yusuph Juma Mwenda amesema kuwa ZRB itaendelea kusimamia sheria za kodi pamoja na kuimarisha miundombinu ya ukusanyaji wa mapato ili kuondosha usumbufu kwa lengo la kuongeza ufanisi na kufikia…

Dkt. Mwinyi Azindua Jengo la ZRB Pemba

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar, imesema itaendelea kufanyakazi kwa ukaribu zaidi na uongozi wa taasisi zinazosimamia kodi ikiwemo Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) na Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) ili kuona taasisi hizo zinatekeleza majukumu…

Marekebisho ya Sheria za Kodi za Zanzibar kwa mwaka wa fedha 2020 – 2021.

Sheria ya kutoza Kodi na kufuta baadhi ya Kodi na tozo na kurekebisha baadi ya Sheria za fedha na Kodi zinazohusiana na ukusanyaji na udhibiti wa Mapato ya Serikali.

Application for Registration as Tax Consultant or Tax Preparer

THE TAX ADMINISTRATION AND PROCEDURES ACT NO. 7 OF 2009TAX CONSULTANTS' REGULATIONS, 2017                       .(Made under…