Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Ndugu Yusuph Juma Mwenda amesema kuwa ZRB itaendelea kusimamia sheria za kodi pamoja na kuimarisha miundombinu ya ukusanyaji wa mapato ili kuondosha usumbufu kwa lengo la kuongeza ufanisi na kufikia…
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar, imesema itaendelea kufanyakazi kwa ukaribu zaidi na uongozi wa taasisi zinazosimamia kodi ikiwemo Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) na Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) ili kuona taasisi hizo zinatekeleza majukumu…
Sheria ya kutoza Kodi na kufuta baadhi ya Kodi na tozo na kurekebisha baadi ya Sheria za fedha na Kodi zinazohusiana na ukusanyaji na udhibiti wa Mapato ya Serikali.
REQUIRED DOCUMENTS FOR ZRB TAX CONSULTANT
THE TAX ADMINISTRATION AND PROCEDURES ACT NO. 7 OF 2009TAX CONSULTANTS' REGULATIONS, 2017 .(Made under…

